Ngiri ni mnyama mkali anayesigina nguvu zako za kiume taratibu… lakini sasa unaweza kumdhibiti! SuperKongwe ni jibu lako la uhakika. Ni wakati wa kurejesha nguvu zako, afya yako, na maisha yako ya ndoa!
Wanaume waliotumia SuperKongwe tayari wamefanikiwa kurejesha afya zao na kuongeza nguvu za kiume.
Kwa jinsi ulivyoangaika kwa muda mrefu… Huenda unasema, ‘Hapana, haiwezekani!’. Lakini mamia ya wanaume wameshashuhudia tayari! Gundua siri ya matokeo ya haraka…
Najua unajiuliza kwa nini hawataki nijue?
Nikurudishe nyuma kidogo…
Kumbuka zile siku ambapo uwapo kifuani kwa mwanamke, jinsi ambavyo mwili wako ulikuwa unajituma kama saa, nguvu zako hazikuisha, na ujasiri wako ulikuwa kama simba dume anayetamba porini! Maisha yalikuwa na maana sana, na kila siku ilikuwa fursa mpya.
Lakini angalia sasa… Labda unaamka umechoka, nguvu zako zimepungua, na ujasiri ume fifia. Maisha yamepoteza nuru yake. Unajisikiaje? Pengine umevunjika moyo. Pengine umechanganyikiwa. Na pengine unajiuliza kama hii ndio hatima yako.
Sikiliza kwa makini: Hii SIYO KOSA LAKO. Umepitia haya yote kwa sababu HUJAJUA UKWELI. Na ukweli ni kwamba, kuna tatizo moja dogo, linalopuuzwa na wengi, ambalo linaharibu maisha yako taratibu: Ugonjwa wa NGIRI.
Ngiri… Usidharau jina hili. Huyu ni ADUI WA SIRI, anayeota mizizi ndani ya mwili wako, akiharibu mfumo wako kimya kimya. Sio tu uvimbe usio na madhara, bali ni bomu linalosubiri kulipuka, likiharibu damu, neva, na nguvu zako za kiume.
Sasa, fikiria kwa makini… Je, umewahi kujiuliza kwanini uume wako umekuwa legelege, au kwa nini hausimami kwa muda mrefu? Je, umewahi kujiuliza kwanini hamu yako ya tendo la ndoa imepungua, na unajikuta unasinzia baada ya ‘raundi’ ya kwanza?
Usishangae ninayajuaje haya.
Kwa miaka 6, nimekuwa mstari wa mbele, nikishuhudia na kusaidia maelfu ya wanaume kama wewe kurejesha heshima yao.
Lakini hapa ndipo unapoanza kushangaa…
Mamia ya wanaume ambao nimewasaidia kurejesha uanaume wao, wanaitunza siri hii kama dhahabu. Hawapendi hata marafiki zao wa karibu wajue!
Ilinichukua muda mrefu kuelewa kwanini wanakuwa hivi.
Na kweli, baada ya muda, nilijua SIRI yao. Na sasa, nataka kukufunulia WEWE. Hii ni SIRI muhimu, na inahitaji umakini wako wote. Nipe dakika zako chache, nikueleze kwa undani jambo hili la msingi…
Fikiria kufurahia tena tendo la ndoa na kuachana na maumivu ya kila siku yanayotokana na ngiri.
Ngiri hujitokeza kwa njia nyingi, na mara nyingi, dalili zake huchukuliwa kama matatizo madogo yasiyo na uzito. Lakini ukweli ni kwamba, kila moja ya hizi ni ishara ya onyo:
Wanaume wengi wanapitia hii, lakini kwa siri kubwa. Unajiandaa kwa tendo, mambo yanaonekana kwenda sawa… halafu, ghafla…
Umebaki umeduwaa. Hauamini kilichotokea. Unasikia tu ile sauti ya msonyo… na kebehi.
Kisa?
Alikuwa anakaribia kumaliza mara pap, moto umekata ghafla.”
Hebu niambie unajisikiaje?
Fedheha. Umeshindwa. Na swali moja linakuandama: “Nina shida gani mimi?”
Sawa, acha nikuulize kitu.
Umewahi kweli kujiuliza… “Kunaweza kuwa na tatizo ambalo sijawahi kulifikiria?”
Kwa sababu huu hapa ndiyo UKWELI, na pengine utakushangaza:
Ndio, ngiri. Wengine wanaita MICHANGO. Unaambiwa, una michango!
Pengine umewahi kuisikia, na pengine umeipuuza. Lakini ngiri sio jambo dogo. Huyu ni ADUI WA SIRI wa nguvu zako za kiume.
Fikiria mtego unaokunasa taratibu, usikii kitu, lakini unazidi kupoteza nguvu, bila kujua chanzo.
Hebu nikuwekee wazi tatizo linavyokuwa:
Ngiri inatokea pale ambapo misuli yako inakuwa dhaifu, au shinikizo kubwa kwenye tumbo lako linasukuma viungo vya ndani kushuka na kubana maeneo ya kinena. Hii si uvimbe wa kawaida tu. Hii ni tatizo linaloharibu mifumo muhimu ya mwili wako:
Unashindwa katikati ya tendo, sio kwa sababu mwili wako umeamua kukusaliti. Ni kwa sababu mwili wako umebanwa, umezuiwa kupata nguvu unayohitaji KWA SABABU YA NGIRI.
Na hapa ndipo wengi wanakosea. Unaposikia “ngiri,” pengine unafikiria ni kitu cha kawaida, “kitu ambacho hutokea tu.”
Lakini fikiria tena…
Kwa sababu ukweli ni huu:
Ni matokeo ya sababu maalumu, zilizojificha ndani ya mwili wako, zikisubiri tu nafasi ya kujidhihirisha.
Na kuelewa chanzo chake ndio hatua ya kwanza ya kurejesha afya yako, na kurejesha NGUVU ZAKO ZA KIUME.
Ngiri mara nyingi huanza pale misuli inapochoka, inapodhoofika, na inashindwa kushikilia viungo vya ndani. Udhaifu huu unaweza kuwa:
Shinikizo kubwa kwenye tumbo lako ni kama adui wa kila siku anayekuvamia bila kujua. Na mara nyingi, hata mambo madogo kama:
…yote haya yanaweza kusababisha viungo vya ndani kuanza kushinikiza sehemu dhaifu na kusababisha ngiri. Ni kama bomu la saa linalosubiri kulipuka ndani ya mwili wako.
Ngiri sio maumivu tu. Ni zaidi ya hapo. Inaenda moja kwa moja kuharibu mzunguko wa damu na kazi za neva kwenye maeneo muhimu kama uume na korodani.
Na hii ndio sababu wanaume wengi wanalalamikia haya:
Lakini hawajui mzizi wa tatizo ni NGIRI.
Na hapa kuna ukweli mwingine ambao pengine hujawahi kuusikia: WANAUME, kwa asili, wako kwenye HATARI KUBWA zaidi ya kupata NGIRI.
Kwanini? Kwa sababu maumbile yetu ya kinena yana sehemu dhaifu kiasili, iliyoundwa wakati wa ukuaji wa korodani. Hii inamaanisha kwamba bila kujali unavyojaribu kujilinda, sehemu hizi tayari ni HATARISHI.
Unapojikakamua mara kwa mara, mwili wako unapitia shinikizo lisilokuwa la kawaida. Na mara nyingi, hata shughuli ndogo kama:
Unaposhindwa kusimama imara kitandani, unahisi huna hamu ya mapenzi, au hata kukosa nguvu ya kurudia tendo, unaanza kujiuliza: “Kuna nini kibaya na mimi?”
Hebu nikuonyeshe jinsi ngiri inavyokuathiri moja kwa moja:
Ngiri huweka shinikizo kwenye mishipa ya damu inayosafirisha damu kwenda kwenye uume. Wakati unahitaji nguvu za uume kusimama imara, mishipa hii iliyobanwa haiwezi kutoa damu ya kutosha. Matokeo yake?
Ni kama kuwa na gari zuri lakini mafuta yamekwisha.
Ngiri huathiri neva zinazopita kwenye maeneo ya kinena na korodani – sehemu ambazo ni muhimu kwa hisia zako za kimapenzi. Unapofikiria kushiriki, mwili wako unakosa ule msisimko wa kawaida.
Hili linapunguza siyo tu furaha ya mapenzi, bali pia kujiamini kwako kama mwanaume.
Unapopata ngiri, mirija inayosafirisha mbegu za uzazi inaweza kubanwa au kuathirika moja kwa moja. Matokeo?
Hii inakufanya upate matatizo ya uzazi, hali inayokuathiri siyo tu kiafya, bali pia kisaikolojia.
Wanaume wengi wanaosumbuliwa na ngiri huripoti jambo hili:
Kila mara, unajikuta huwezi kurudia tena kwa nguvu mpya kama ulivyokuwa zamani
Ngiri siyo tatizo linaloanza kwa kishindo. Inajificha polepole, ikikuacha ukijiuliza kama dalili unazoziona ni za kawaida au kuna kitu kinaendelea ndani yako. Lakini ukweli ni kwamba, mwili wako unaendelea kupiga kelele. Sasa, hebu jiangalie…
Unahisi tumbo linaunguruma kila mara, hata wakati huna njaa. Hii si kawaida, ni ishara ya shinikizo kubwa linalotokea ndani ya mwili wako.
Unahisi tumbo linaunguruma kila mara, hata wakati huna njaa. Hii si kawaida, ni ishara ya shinikizo kubwa linalotokea ndani ya mwili wako.
Unaenda siku mbili, tatu, hata nne bila kupata choo. Wakati unapata, ni kigumu kama mawe. Unaumia, unahisi kero – na bado huoni unafuu wa kweli.
Unapofanya shughuli zako za kawaida, maumivu ya mgongo na kiuno yanaanza kukusumbua mara kwa mara. Yanakuja, yanapungua kidogo, kisha yanarudi tena.
Kila mara unajikuta unapumua kwa nguvu. Unaweza kuhisi huna pumzi ya kutosha, kana kwamba kuna kitu kinazuia mwili wako kufanya kazi kwa ufanisi.
Uume wako haukai sawa. Wakati mwingine unasikia kama “unapotea” au unarudi ndani – hali inayokufanya ujisikie fedheha na hofu.
Unashangaa kwa nini korodani moja inaonekana juu zaidi kuliko nyingine. Wakati mwingine, hata zinavimba na kusababisha maumivu makali.
Unapojaribu kuwa tayari kwa tendo la ndoa, ghafla unakutana na maumivu makali kwenye shina la uume. Hii inaharibu kila kitu na kukuacha ukiwa umevunjika moyo.
Kila jamii ina lugha yake ya kuelezea maumivu, sivyo? Kumbuka jinsi tulivyozoea kusema mtu ana “michango” kila wakati anaposhikwa na tumbo. Lakini, unapokuwa mtu mzima, maneno yanabadilika. Kwa wanaume, inakuwa “anaumwa ngiri,” wakati wanawake wanaposhughulikia maumivu yao, mara nyingi hujulikana kama maumivu ya tumbo la hedhi.
Na hapa ndipo ukweli wa hali unapoingia: matibabu halisi ya tatizo hili mara nyingi hayapatikani hospitalini. Hii ni changamoto kubwa ambayo inawafanya wanaume wengi kutafuta suluhisho mbadala.
Hapo ndipo tulipoamua kutafuta njia bora zaidi. Tumezunguka mikoa mbalimbali ya nchi yetu, tukichunguza tiba za asili zilizotumiwa na mababu zetu.
Kwa zaidi ya mwaka wa tano sasa, tumekuwa tukitumia tiba hii kusaidia wahanga wa ngiri. Na matokeo ni ya kushangaza!
Wanaume wengi wanasema uwezo wao katika tendo la ndoa umeimarika maradufu; wengine wamepata nguvu sawa na simba!
Wanaume waliofanikiwa katika maisha wanajua kitu kimoja cha msingi: afya yao ni msingi wa kila kitu kingine – kuanzia mahusiano, kazi, hadi maisha ya kila siku. Na unapozungumzia afya ya mwanaume, SuperKongwe ndio siri inayobadilisha mchezo.
SuperKongwe si dawa ya kawaida ya “kuficha dalili.” Hapana, ni zaidi ya hapo. Imeundwa kwa mchanganyiko wa mimea ya asili iliyochaguliwa kwa uangalifu ili kushughulikia tatizo la ngiri moja kwa moja – na sio tu dalili zake.
Hivi ndivyo kila mwanaume anayejua anachofanya anavyotumia SuperKongwe kuimarisha afya yake:
Ngiri inapotokea, sehemu dhaifu ya mwili wako inavimba, ikikuletea maumivu na usumbufu usioisha. SuperKongwe husaidia:
Nguvu za kiume hazihusiani tu na ujasiri; ni sehemu ya msingi ya maisha ya mwanaume. SuperKongwe hufanya kazi ya:
Ngiri inaweza kuziba mzunguko wa damu kwenye maeneo muhimu ya mwili wako – hususan kwenye eneo la kinena. Na bila damu ya kutosha, nguvu zako za kiume zinapungua. SuperKongwe inafanya kazi moja kwa moja kwa:
Maumivu ya mgongo? Gesi tumboni? Matatizo ya haja kubwa? Uvimbe wa korodani?
SuperKongwe si tu inashughulikia ngiri; inarekebisha dalili zote zinazofuatana nayo kwa njia ya asili na yenye matokeo ya haraka. Unaweza kusahau kuhusu kukimbia chooni mara kwa mara au kuhisi uvimbe unaokukosesha amani.
Katika dunia yenye ahadi zisizokuwa na msingi, ni kawaida kuhisi shaka. Lakini hapa, hatukuja kukuuzia ndoto – tumekuja kukupa matokeo halisi, yaliyothibitishwa na mamia ya wanaume waliokuwa mahali ulipo sasa.
SuperKongwe si sawa na bidhaa ulizo-zoea; ni suluhisho la kweli. Na hatuhitaji kutumia maneno mengi kukushawishi – wacha ushuhuda wa wale tuliowasaidia uongee kwa niaba yetu.
Kama umenifutatilia tangu mwanzo, utakuwa unakumbuka niliahidi kukueleza ni kwanini, siyo?
Sawa. Kabla ya kueleza bila shaka utakuwa na swali unajiuliza… Ulijuaje kwamba hawataki SIRI hii ijulikane?
Naam. Nina matukio mengi, lakini kubwa ni kupitia kwa baadhi ya wanaume ambao nilikuja kugundua ni marafiki wa wale ambao tayari nilishawahudumia.
Nilipowauliza ikiwa ni marafiki zao hao ndiyo walio waelekeza waje kwangu, nikashangazwa na majibu… HAWAKUWA marafiki zao hao. Nikaenda mbali nikauliza ikiwa anajuwa kwamba rafikiye alikuwa na uhitaji wa tiba hii, wengi walisema NDIYO anajua!
Kengele ikalia masikioni, kuashiria kwamba kuna jambo…. ikanilazimu nifanye utafiti mdogo kujua ni kwa nini?
Nilipouliza waliotangulia, majibu yao yalinishtua – na pengine yatakushtua pia.
Sababu ya kwanza…
Asilimia 20% ya wale niliowahoji walisema wanahofu wenza wao watahisi kwamba uwezo walionao sasa si wao asilia – kwamba ni matokeo ya dawa walizotumia. Wanaogopa kuonekana kwamba walikuwa wakihangaika na tatizo kubwa la kupungua nguvu za kiume hapo awali.
Ni kama wamejificha nyuma ya pazia la mafanikio mapya, wakihofia kwamba siri zao zinaweza kuharibu picha waliyojijengea.
Sababu ya pili, hii nimeiita…
Kinachoshangaza zaidi ni majibu kutoka kwa asilimia 80% waliobaki. Walisema wazi: “Niache niendelee kuonekana simba ili wale (mandondocha) wasio na nguvu za kiume waendelee kuniweka mjini.”
Naam, wapo wanaume wanaopata faida kubwa kutokana na udhaifu wa wenzao. Wanajipatia pesa kutoka kwa wake za watu wanaotafuta kuridhishwa nje ya ndoa zao. Wanasema, “Nikishawafurahisha, wake zao wananilipa vizuri, hata gharama za lodge wanalipia wao!”
Hebu fikiria kuhusu hatari hii:
Hebu fikiria fedheha na manyanyaso haya! Nisingnependa kuona haya yanatokea kwako!
Sitanii. Nisingependa kabisa yakutokee….
Baada ya kutafakari kwa kina kwa muda mrefu, nilifikia uamuzi MGUMU uliowashtua staff wangu baada ya kuwashirikisha azma yangu.
Uamuzi uliowafanya wakadhani nastahili kupelekwa hospitali ya milembe – dodoma! Sababu?
Walidhani NIMECHANGANYIKIWA.
Hatua hii ilizua mjadala mkali, hata kusababisha muhasibu wangu kupinga kwa nguvu akisema, “Tutaua kampuni!”
Lakini sikusikiliza.
Kwa nini?
Kwa sababu najua jinsi tatizo la ngiri linavyoweza kuharibu maisha ya mwanaume – siyo tu kiafya, bali pia kijamii na kifamilia.
Unataka kujuwa ni uamuzi gani?
Uamuzi ambao umekuja baada ya kuwasikiliza wateja wangu na kuchunguza hali ya maisha ya wanaume wengi, nilijua kitu kimoja: Kila mwanaume anastahili nafasi ya kurejesha uanaume wake.
Ninaamini, mwanaume mmoja anaweza kurejesha imaya yake na kuishi kwa furaha. Lakini ikiwa hatutatoa ofa, tatizo hili litaendelea kuwatafuna wanaume wengi. Na ndiyo maana nimechukua hatua hii – si kwa ajili ya faida, bali kwa ajili ya kuhakikisha kila mwanaume anapata fursa ya kuiitwa baby tena.
Hata hivyo, tumekubaliana namuhasibu wangu kwamba…
Sasa uamuzi ni wako!
Hii siyo nafasi ya kuchezea. SuperKongwe imekuwa suluhisho la maelfu, na sasa ni zamu yako. Swali langu kwako ni Je, uko tayari kurejesha mamlaka yako na kuondokana na aibu isiyo na mwisho?
Kwa nini mambo mazuri yawe magumu? Hii ni siri ya SuperKongwe – ni rahisi kutumia, inashughulikia tatizo moja kwa moja, na inaendana kikamilifu na maisha yako ya kila siku. Hakuna mizunguko, hakuna hofu. Unahitaji tu kufuata hatua hizi rahisi na kuona matokeo yakianza kuonekana haraka.
Chukua kijiko kimoja cha chai (tablespoon) cha SuperKongwe. Hii ni kiasi kamili kilichoundwa kutoa nguvu zote zinazohitajika kwa mwili wako kushinda ngiri. Changanya na:
Kisha pika hadi viive vizuri. Rahisi, sivyo?
Unapomaliza kuandaa, sasa unachohitaji ni kufuata utaratibu rahisi wa matumizi:
Hii inakuhakikishia mwili wako unapata virutubisho sahihi kila wakati wa siku ili kuimarisha afya yako na kuondoa ngiri.
Ikiwa unapenda kuongeza ladha kidogo, kuna njia mbili za kufanya hivyo:
Lakini tahadhari! Hakikisha haufanyi kosa la kuongeza sukari. SuperKongwe tayari inatoa matokeo bila kuhitaji ladha zisizohitajika.
Kwa kutumia SuperKongwe kwa njia hii, utaanza kuona mabadiliko ndani ya siku chache:
Kumbuka, hii si kuhusu kuficha dalili – ni kuhusu kushinda tatizo moja kwa moja na kuishi maisha yako kwa uhuru na furaha tena.
Hii inaenda kusafisha ndani ya mwili kwenye utumbo mwembamba na mpana, Kuondoa sumu na mafuta machafu mwilini…Plus Kuunguza mafuta ya Kitambi na Manyama uzembe
Magonjwa mengi yanayokutesa kwa sasa chanzo chake kikuu ni chakula na hii ndio Ratiba bora ya chakula iliyovujishwa na Dr. Sebi
Tunajua unahitaji uhakika kabla ya kuchukua hatua ya kubadili maisha yako. Ndiyo maana tumekusanya maswali yote yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu SuperKongwe na kuyajibu kwa uwazi.
👉 Bonyeza maswali hapa chini kupata majibu yote unayohitaji kabla ya kununua – na ujihakikishie kuwa uko kwenye hatua sahihi ya kuimarisha afya yako!
Ndiyo! SuperKongwe inatibu chanzo halisi cha tatizo lako—ngiri. Kwa kutibu mzizi wa tatizo, nguvu zako za kiume zitarudi kwa uimara na uhakika.
Hakika! Moja ya sababu kuu za uume mdogo ni ngiri, na SuperKongwe inashughulikia tatizo hili kwa undani. Hii inaboresha mzunguko wa damu na kusaidia ukuaji wa kawaida wa maumbile yako.
SuperKongwe ni tiba ya asili yenye nguvu za kutibu changamoto mbalimbali za kiafya. Mbali na ngiri, pia hutibu:
Sahau kuhusu madawa yenye ladha kali! SuperKongwe ina ladha nzuri. Unaweza kuitumia kwa urahisi bila usumbufu wa ladha mbaya.
Ni ya asili kabisa! Haina kemikali, haina preservative, na imetengenezwa kutoka kwenye viungo vya mitishamba safi vilivyochaguliwa kwa uangalifu. Ni suluhisho la asili kwa changamoto zako za kiafya.
SuperKongwe inaweza kudumu hadi mwaka mmoja ikiwa imehifadhiwa vizuri. Hata hivyo, kwa matokeo bora zaidi, tunapendekeza uitumie ndani ya miezi sita baada ya kununua.
Ngiri ni mnyama mkali anayesigina nguvu zako za kiume taratibu… lakini sasa unaweza kumdhibiti! SuperKongwe ni jibu lako la uhakika. Ni wakati wa kurejesha nguvu zako, afya yako, na maisha yako ya ndoa!